FAIDA 16 ZA MAJANI YA
MPERA
USISAHA
KUSUBSCRIBE KUKOMENT NA KULIKE PAGE HII ILI UWE WA MWANZO KUPATA MAKALA ZETU ZA
KILA SIKU. AHSANTE.
Nimekua nikipata
maswali wengi juu ya faida za majani ya miti tofauti ikiwemo ile ambayo
inatuzunguka kila siku, kwa iyo leo naleta faida za majani ya mpera na makala
nyengine nitaleta faida za pera lenyewe
1. Chai ya majani ya mpera inaponyesha kifua
na kikohozi,
1.
Majani ya mpera
yaliyosagwa vizuri yanatumika kutibu muwasho uliotokana na mzio (allergy)
2.
Pia majani haya ya
mpera yakichemshwa kama chai yanaondoa cholesterol iliyozidi mwilini na hivyo
kupunguza uzito
3.
Chai ya majani ya
mpera inapunguza kiwango cha tatizo la sukari mwilini ni nzuri kwa wagonjwa wa
sukari
4.
Chai ya mpera ni dawa
nzuri kwa wenye matatizo ya nguvu za kiume kwani inasaidia kuamsha hisia na
kupitisha damu katika mishipa midogo ya uume jambo ambalo litasababisha uume
kua imara na wenye nguvu.
5.
Pia inatumika kama
scrub ya uso chukua majani ya mpera saga kisha tia maji kiasi na inasaidia
kuondoa uchafu usoni
6.
Pia majani ya mpera
yakichemshwa ni dawa ya kuponyesha tumbo la kuhara
8. Kama umejikata kidogo unaweza kutumia majani ya mpera yaliyoshwa na kusagwa
vizuri kwa kupunguza maumivu na kukulinda na maambukizi ya bakteria yaani
tetnus
9. Majani ya mpera yaliyosagwa vizuri yanatumika kutibu eneo la mwili
lililong’atwa na mdudu na kupunguza maumivu
10. Chai ya majani ya mpera inaaminika kuwa ina uwezo wa kutibu tezi dume
11. Kutokana na kuwa na vitamini C kwa wingi majani ya mpera yana uwezo mkubwa
wa kutibu chunusi ,saga majani ya mpera tia na maji ya uvuguvugu halafu paka
usoni kaa kwa dakika 10-15 osha uso wako
12. Chai ya majani ya mpera inasaidia kupunguza uzito mwilini na kuzuia kupata
magonjwa hatarishi kama kisukari na presha.
13. Majani ya mpera yanajaza nywele na kurefusha nywele kwa watu wenye tatizo
la kukatika kwa nywele, unasaga na kuchemsha kisha acha yapoe ndio upake
kichwani kutoka chini ya ngozi ya kichwa hadi kwenye ncha ya nywele zako
14. Ukiwa na tatizo la vidonda kwenye ufizi, maumivu ya jino na ufizi tafuna
majani ya mpera na utaona maajabu ya majani haya
15. Chukua majani ya mpera saga vizuri mpaka yawe laini kabisa ongeza na maji
kidogo kisha tumia kupaka usoni kama scrub inatibu ngozi inayoanza kuzeeka
mapema
16. Chai ya mpera inasaidia kwa kutibu mvurugiko wa tumbo.
Pamoja na majani hayo kuwa msaada wa kutibu maradhi mbalimbali , halikadhalika
juisi ya mapera nayo husaidia sana kutibu mgolo au bawasiri, figo na hata
kuondoa mafuta katika moyo.
Kimsingi mti wa mpera karibu kila sehemu yake ni tiba kwani hata mizizi yake
inapochemshwa na kutumia kwa kunywa huenda kuwasaidia wanawake wenye matatizo
ya hedhi au wenye matatizo ya kutokwa na maji yenye harufu mbaya sehemu zao za
siri.
Sanjari na hayo, watoto wadogo wenye matatizo ya kutopata choo zaidi ya siku
mbili, wakinyweshwa maji ya majani hayo baada ya kuchemshwa huwasaidia
kuondokana na shida hiyo.
USISAHA
KUSUBSCRIBE KUKOMENT NA KULIKE PAGE HII ILI UWE WA MWANZO KUPATA MAKALA ZETU ZA
KILA SIKU. AHSANTE.
Share na wengine wanufaike
0 Comments